[News] TID akimzungumzia Q Chief baada ya tukio lake la kupigwa

Baada ya tukio la TID kupigwa na kutrend katika mitandao ya kijamii, Q Chief ameonekana kufurahia tukio hilo. Hivyo TID amemzungumzia Q Chief baada ya tukio hilo na kusema kuwa ana roho mbaya na kuwa yeye kama TID hawezi kufurahishwa kuona msanii mwenzake akiumizwa na kubezwa. Hayo yote yameongelewa katika Ayo TV


Post a Comment

0 Comments